Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 18:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Katika mwaka wa tatu wa utawala wa Hoshea+ mwana wa Ela mfalme wa Israeli, Hezekia+ mwana wa Mfalme Ahazi+ wa Yuda akawa mfalme.

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 29 Hezekia+ alikuwa na umri wa miaka 25 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 29 huko Yerusalemu. Mama yake aliitwa Abiya binti ya Zekaria.+

  • Isaya 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Maono ambayo Isaya*+ mwana wa Amozi aliona kuhusu Yuda na Yerusalemu katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda:+

  • Hosea 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Neno la Yehova lililomjia Hosea* mwana wa Beeri katika siku za Uzia,+ Yothamu,+ Ahazi,+ na Hezekia,+ wafalme wa Yuda,+ na katika siku za Yeroboamu+ mwana wa Yoashi,+ mfalme wa Israeli.

  • Mathayo 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Uzia akawa baba ya Yothamu;+

      Yothamu akawa baba ya Ahazi;+

      Ahazi akawa baba ya Hezekia;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki