Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 17:19, 20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Lakini Eliya akamwambia: “Nipe mwana wako.” Kisha akamchukua kutoka mikononi mwake, akambeba hadi katika chumba cha darini, alimokuwa akikaa, akamlaza kwenye kitanda chake mwenyewe.+ 20 Akamlilia Yehova kwa sauti akisema: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, unamdhuru pia mjane ninayekaa kwake kwa kumuua mwanawe?”

  • Yohana 11:41
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 41 Basi wakaliondoa lile jiwe. Kisha Yesu akatazama mbinguni+ na kusema: “Baba, ninakushukuru kwa sababu umenisikia.

  • Matendo 9:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Petro akaagiza kila mtu aende nje,+ akapiga magoti na kusali. Kisha akaugeukia ule mwili, akasema: “Tabitha, inuka!” Akafungua macho yake, na alipomwona Petro, akaketi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki