-
1 Wafalme 17:19, 20Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Lakini Eliya akamwambia: “Nipe mwana wako.” Kisha akamchukua kutoka mikononi mwake, akambeba hadi katika chumba cha darini, alimokuwa akikaa, akamlaza kwenye kitanda chake mwenyewe.+ 20 Akamlilia Yehova kwa sauti akisema: “Ee Yehova Mungu wangu,+ je, unamdhuru pia mjane ninayekaa kwake kwa kumuua mwanawe?”
-