Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 23:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yehoyada akafanya agano kati yake na watu wote na mfalme, kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Aliwaweka pia walinzi wa malango+ karibu na malango ya nyumba ya Yehova, ili mtu yeyote asiye safi kwa njia yoyote ile asiingie.

  • Nehemia 12:45
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Nao wakaanza kushughulikia majukumu waliyopewa na Mungu wao na kutimiza wajibu wa kutakasa, kama walivyofanya waimbaji na walinzi wa malango, kulingana na maagizo ya Daudi na ya Sulemani mwanawe.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki