Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+

  • Isaya 45:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Katika Yehova uzao* wote wa Israeli utathibitika kuwa sawa,+

      Nao watajigamba katika yeye.’”

  • Yeremia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili:

      Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+

      Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+

      Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki