Mambo ya Walawi 22:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+ Isaya 45:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Katika Yehova uzao* wote wa Israeli utathibitika kuwa sawa,+Nao watajigamba katika yeye.’” Yeremia 9:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.
32 Msilichafue jina langu takatifu,+ ni lazima nitakaswe miongoni mwa Waisraeli.+ Mimi ni Yehova, ninayewatakasa,+
24 “Lakini yule anayejigamba na ajigambe* kwa jambo hili: Kwamba ana ufahamu na ujuzi kunihusu,+Kwamba mimi ni Yehova, Ninayetenda kwa upendo mshikamanifu, haki, na uadilifu duniani,+Kwa maana ninapendezwa na mambo hayo,”+ asema Yehova.