Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza, utajenga hema la ibada, yaani, hema la mkutano.+

  • Hesabu 4:24, 25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Huu ndio utumishi ambao watu wa familia za Wagershoni wamegawiwa kufanya na vitu wanavyopaswa kubeba:+ 25 Watabeba vitambaa vya hema la ibada,+ hema la mkutano, kifuniko chake na kifuniko cha ngozi ya sili kilicho juu yake,+ pazia la mlango wa hema la mkutano,+

  • 2 Samweli 6:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Basi wakaliingiza ndani Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amepiga ili aliweke humo.+ Kisha Daudi akatoa dhabihu za kuteketezwa+ na dhabihu za ushirika+ mbele za Yehova.+

  • Zaburi 78:60
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 60 Mwishowe akaliacha hema la ibada lililo Shilo,+

      Hema alimokaa miongoni mwa wanadamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki