12 Wakati huo mfalme wa Babiloni, Berodak-baladani mwana wa Baladani, akamtumia Hezekia barua na zawadi, kwa maana alisikia kwamba Hezekia alikuwa mgonjwa.+
39Wakati huo mfalme wa Babiloni, Merodak-baladani mwana wa Baladani alimtumia Hezekia barua na zawadi,+ kwa maana alisikia kwamba alikuwa mgonjwa na sasa amepona.+