Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 22:2-4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Katika mwaka wa tatu, Mfalme Yehoshafati+ wa Yuda akashuka kwenda kwa mfalme wa Israeli.+ 3 Kisha mfalme wa Israeli akawaambia watumishi wake: “Je, mnajua kwamba Ramothi-gileadi+ ni jiji letu? Na bado tunasitasita kulichukua kutoka kwa mfalme wa Siria.” 4 Halafu akamuuliza Yehoshafati: “Je, utaenda pamoja nami kupigana kule Ramothi-gileadi?” Yehoshafati akamjibu hivi mfalme wa Israeli: “Mimi ni kama wewe. Watu wangu ni kama watu wako. Farasi wangu ni kama farasi wako.”+

  • 2 Mambo ya Nyakati 19:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Yehu+ mwana wa mwonaji Hanani+ alienda kukutana na Mfalme Yehoshafati na kumuuliza: “Je, unapaswa kuwasaidia waovu,+ na je, unapaswa kuwapenda wale wanaomchukia Yehova?+ Kwa sababu hiyo ghadhabu ya Yehova iko dhidi yako.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki