Yeremia 20:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha Pashuri akampiga nabii Yeremia na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa kwenye Lango la Juu la Benjamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova. Marko 14:65 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+
2 Kisha Pashuri akampiga nabii Yeremia na kumweka katika mikatale+ iliyokuwa kwenye Lango la Juu la Benjamini, lililokuwa katika nyumba ya Yehova.
65 Wengine wakaanza kumtemea mate,+ wakamfunika uso, wakampiga ngumi na kumwambia: “Toa unabii!” Walinzi wa mahakama wakampiga makofi usoni na kumchukua.+