Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 10:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Wana wa Haruni, makuhani, wanapaswa kuzipiga tarumbeta;+ na hiyo itakuwa sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote.

  • 1 Mambo ya Nyakati 13:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Daudi na Waisraeli wote walikuwa wakisherehekea mbele za Mungu wa kweli kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, vinubi, vinanda vinginevyo, matari,+ matoazi,+ na tarumbeta.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 29:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Basi Walawi walikuwa wakisimama wakiwa na ala za Daudi, na makuhani wakiwa na tarumbeta.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki