Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 21:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha Yehova akawachochea*+ Wafilisti+ na Waarabu+ walioishi karibu na Waethiopia ili wamshambulie Yehoramu.

  • 2 Mambo ya Nyakati 21:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Alikuwa na umri wa miaka 32 alipoanza kutawala, naye alitawala kwa miaka 8 huko Yerusalemu. Hakuna mtu yeyote aliyesikitishwa na kifo chake. Basi wakamzika katika Jiji la Daudi,+ lakini si katika makaburi ya wafalme.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 28:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Kisha Ahazi akafa na kuzikwa pamoja na mababu zake jijini Yerusalemu, kwa maana hawakumpeleka kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli.+ Na Hezekia mwanawe akawa mfalme baada yake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki