6 Kisha makuhani wakalileta sanduku la agano la Yehova mahali pake,+ katika chumba cha ndani zaidi cha nyumba, yaani, Patakatifu Zaidi, chini ya mabawa ya makerubi.+
18 Pia alimpa uzito wa dhahabu safi kwa ajili ya madhabahu ya uvumba+ na kwa ajili ya mfano wa lile gari,+ yaani, wale makerubi+ wa dhahabu walionyoosha mabawa yao na kulifunika sanduku la agano la Yehova.