Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 34:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Yehova alipita mbele yake akitangaza: “Mimi Yehova, Yehova, ni Mungu mwenye rehema+ na huruma,*+ si mwepesi wa hasira,+ nina upendo mwingi mshikamanifu*+ na kweli,*+

  • Zaburi 86:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Kwa maana wewe, Ee Yehova, ni mwema+ na uko tayari kusamehe;+

      Una upendo mwingi mshikamanifu kwa wote wanaokuitia.+

  • Mika 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ni Mungu gani aliye kama wewe,

      Unayesamehe dhambi na kuachilia makosa+ ya watu waliobaki wa urithi wako?+

      Hutaendelea kuwa na hasira milele,

      Kwa maana unapendezwa na upendo mshikamanifu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki