Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Walichukua pia ndoo za kuondolea majivu, sepetu, mikasi ya kukatia tambi za taa, vikombe, na vyombo vyote vya shaba vilivyotumiwa katika utumishi wa hekaluni. 15 Mkuu wa walinzi alichukua vyetezo na mabakuli yaliyotengenezwa kwa dhahabu+ na fedha halisi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Pia Nebukadneza alichukua baadhi ya vyombo vya nyumba ya Yehova, akavipeleka Babiloni na kuviweka katika jumba lake la kifalme huko Babiloni.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 36:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Alipeleka kila kitu Babiloni, vyombo vyote vya nyumba ya Mungu wa kweli, vikubwa na vidogo, na pia hazina za nyumba ya Yehova na hazina za mfalme na wakuu wake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki