Nehemia 12:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda kwenda na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ na Yeshua:+ Seraya, Yeremia, Ezra, Nehemia 12:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, na Matania+ aliyeongoza uimbaji wa nyimbo za shukrani akiwa pamoja na ndugu zake.
12 Hawa ndio makuhani na Walawi waliopanda kwenda na Zerubabeli+ mwana wa Shealtieli,+ na Yeshua:+ Seraya, Yeremia, Ezra,
8 Walawi walikuwa Yeshua, Binui, Kadmieli,+ Sherebia, Yuda, na Matania+ aliyeongoza uimbaji wa nyimbo za shukrani akiwa pamoja na ndugu zake.