-
Ezra 2:1, 2Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Hawa ndio watu wa mkoa,* baadhi ya mateka waliopanda kutoka uhamishoni,+ ambao Mfalme Nebukadneza wa Babiloni alikuwa amewapeleka uhamishoni Babiloni+ na ambao baadaye walirudi Yerusalemu na Yuda, kila mmoja kwenye jiji lake,+ 2 wale waliokuja na Zerubabeli,+ Yeshua,+ Nehemia, Seraya, Reelaya, Mordekai, Bilshani, Mispari, Bigvai, Rehumu, na Baana.
Idadi ya wanaume Waisraeli ilitia ndani:+
-