66 Kutaniko lote lilikuwa na jumla ya watu 42,360,+67 mbali na watumwa wao wa kiume na wa kike,+ ambao walikuwa 7,337; walikuwa pia na waimbaji 245 wa kiume na wa kike.+68 Walikuwa na farasi 736, nyumbu 245, 69 ngamia 435, na punda 6,720.
3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+