-
Nehemia 6:10Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Kisha nikaenda nyumbani kwa Shemaya mwana wa Delaya mwana wa Mehetabeli, alipokuwa amejifungia ndani. Akasema: “Tupange wakati ili tukutane katika nyumba ya Mungu wa kweli, ndani ya hekalu, nasi tufunge milango ya hekalu, kwa maana wanakuja kukuua. Wanakuja kukuua usiku.”
-
-
Nehemia 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Alikuwa amekodiwa ili aniogopeshe na kunifanya nitende dhambi, kisha wawe na sababu ya kuniharibia sifa ili wanishutumu.
-