Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 23:34
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Siku ya 15 ya mwezi huo wa saba mtamfanyia Yehova Sherehe ya Vibanda* kwa siku saba.+

  • Mambo ya Walawi 23:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Mtakaa katika vibanda kwa siku saba.+ Waisraeli wote watakaa katika vibanda,

  • Kumbukumbu la Torati 16:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “Mnapaswa kufanya Sherehe ya Vibanda*+ kwa siku saba mnapokusanya nafaka kutoka katika uwanja wenu wa kupuria na kutoka katika shinikizo lenu la mafuta na divai.

  • Kumbukumbu la Torati 16:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 “Mara tatu kwa mwaka, wanaume wenu wote wanapaswa kwenda mbele za Yehova Mungu wenu mahali atakapochagua: katika Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu,+ Sherehe ya Majuma,+ na Sherehe ya Vibanda,*+ na hakuna yeyote kati yao anayepaswa kwenda mbele za Yehova mikono mitupu.

  • Yohana 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Hata hivyo, Sherehe ya Vibanda ya Wayahudi,+ ilikuwa imekaribia.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki