13 Hilo lilitokea kwa sababu ya dhambi za manabii wake, makosa ya makuhani wake,+
Waliomwaga damu ya waadilifu waliokuwa katika jiji hilo.+
נ [Nun]
14 Wametangatanga kama vipofu+ barabarani.
Wamechafuliwa na damu,+
Hivi kwamba hakuna yeyote anayeweza kuyagusa mavazi yao.