8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+
2 mtachukua baadhi ya mavuno ya kwanza ya mazao* yote ya ardhi, mtakayokusanya katika nchi yenu ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, na kuyatia katika kikapu na kwenda mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo.+