Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Katika mwaka wa kwanza wa utawala wa Mfalme Koreshi, Mfalme Koreshi alitoa agizo hili kuhusu nyumba ya Mungu huko Yerusalemu:+ ‘Nyumba hiyo na ijengwe upya iwe mahali watakapotolea dhabihu, na misingi yake inapaswa kuwekwa; kimo chake kiwe mikono 60,* upana wake mikono 60,+

  • Ezra 6:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na chochote kinachohitajiwa—ng’ombe dume wachanga+ pamoja na kondoo dume+ na wanakondoo+ kwa ajili ya dhabihu za kuteketezwa kwa Mungu wa mbinguni, ngano,+ chumvi,+ divai,+ na mafuta,+ kama watakavyosema makuhani walio Yerusalemu—waendelee kupewa vitu hivyo siku baada ya siku bila kukosa,

  • Ezra 7:21-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Mimi, Mfalme Artashasta, nimewaagiza waweka-hazina wote katika eneo lililo Ng’ambo ya Mto* wampe bila kukawia kila kitu atakachoomba Ezra,+ kuhani na mwandishi wa* Sheria ya Mungu wa mbinguni, 22 hata akiomba talanta 100 za fedha,* kori 100 za ngano,* bathi 100 za divai,*+ bathi 100 za mafuta,+ na chumvi isiyo na kipimo.+ 23 Kila jambo ambalo Mungu wa mbinguni ameagiza linapaswa kufanywa kwa bidii kwa ajili ya nyumba ya Mungu wa mbinguni,+ ili ghadhabu yake isije dhidi ya milki yangu na wanangu.+ 24 Pia ninawajulisha kwamba hairuhusiwi kuwatoza kodi, wala ushuru,+ wala ada yoyote makuhani na Walawi, wanamuziki,+ walinzi wa malango, watumishi wa hekaluni,*+ na wafanyakazi wa nyumba hii ya Mungu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki