31 Ikiwa watu wa mataifa hayo wataleta bidhaa zao na kila aina ya nafaka ili watuuzie katika siku ya Sabato, hatutanunua chochote kutoka kwao siku ya Sabato+ au siku nyingine takatifu.+ Pia, mwaka wa saba+ hatutalima mashamba na tutayafuta madeni yote.+