13 Esta akajibu: “Ukipenda Ee mfalme,+ Wayahudi walio Shushani* waruhusiwe kesho pia kutekeleza sheria ya leo;+ agiza wana kumi wa Hamani watundikwe mtini.”+
15 Wayahudi waliokuwa Shushani* wakakusanyika pamoja tena siku ya 14 ya mwezi wa Adari+ na kuwaua watu 300 huko Shushani,* lakini hawakuwapora chochote.