Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 17:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 na kusema: “Kwa sababu mkono wa Waamaleki unapinga kiti cha ufalme cha Yah,+ Yehova atapigana vita na Waamaleki kizazi baada ya kizazi.”+

  • Hesabu 24:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Maji yanaendelea kutiririka kutoka katika ndoo zake mbili za ngozi,

      Na mbegu yake imepandwa* kando ya maji mengi.+

      Mfalme wake+ pia atakuwa mkuu kuliko Agagi,+

      Na ufalme wake utakwezwa.+

  • Kumbukumbu la Torati 25:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Yehova Mungu wenu atakapokuwa amewapumzisha kutokana na maadui wenu wote wanaowazunguka katika nchi ambayo Yehova Mungu wenu anawapa kuwa urithi ili mwimiliki,+ mnapaswa kuwaangamiza kabisa Waamaleki ili wasikumbukwe tena chini ya mbingu.+ Msisahau jambo hilo.

  • 1 Samweli 15:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Akamkamata Agagi+ mfalme wa Amaleki akiwa hai, lakini watu wengine wote akawaangamiza kwa upanga.+

  • 1 Samweli 15:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Kisha Samweli akasema: “Mleteni hapa Agagi mfalme wa Waamaleki.” Ndipo Agagi akaja kwake akisitasita,* kwa sababu Agagi alisema moyoni mwake: “Kwa hakika hatari ya kifo imepita.”*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki