Esta 3:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimpandisha cheo Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi+ na kumkweza juu ya wakuu wengine wote katika utawala wake.+ Esta 3:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ndipo mfalme akavua pete yake ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akampa Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ aliyekuwa adui wa Wayahudi.
3 Baada ya mambo hayo Mfalme Ahasuero alimpandisha cheo Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi+ na kumkweza juu ya wakuu wengine wote katika utawala wake.+
10 Ndipo mfalme akavua pete yake ya muhuri+ kutoka mkononi mwake, akampa Hamani+ mwana wa Hamedatha Mwagagi,+ aliyekuwa adui wa Wayahudi.