Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kisha Yehova Mungu akamuumba mtu kutokana na mavumbi+ ya ardhi na kupuliza katika mianzi ya pua yake pumzi ya uhai,+ na mtu huyo akawa mtu aliye hai.*+

  • Isaya 45:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Ole wake yule anayeshindana* na Muumba wake,*

      Kwa maana yeye ni kigae cha udongo tu

      Kati ya vigae vingine vya udongo vilivyo ardhini!

      Je, udongo unapaswa kumuuliza Mfinyanzi:* “Unatengeneza nini?”+

      Au kitu ulichokitengeneza kinapaswa kuuliza: “Yeye hana mikono”?*

  • Isaya 64:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini sasa, Ee Yehova, wewe ni Baba yetu.+

      Sisi ni udongo, nawe ni Mfinyanzi wetu;*+

      Sisi sote ni kazi ya mkono wako.

  • Waroma 9:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwani, je, mfinyanzi hana mamlaka juu ya udongo+ kufanya kutokana na donge lilelile chombo kimoja kwa matumizi yenye kuheshimika, na kingine kwa matumizi yasiyo ya kuheshimika?

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki