5 Pia, mtu anapoogopa sehemu zilizo juu, na vitisho vinapokuwa barabarani. Na mti wa mlozi unapochanua,+ na panzi anapojikokota, na pilipili inapopasuka, kwa sababu mwanadamu anatembea kwenda kwenye nyumba yake ya kudumu+ na waombolezaji wanatembeatembea barabarani;+