Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mhubiri 9:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa maana walio hai wanajua* kwamba watakufa,+ lakini waliokufa hawajui jambo lolote kamwe,+ wala hawana thawabu* tena, kwa sababu kumbukumbu lote kuwahusu limesahauliwa.+

  • Mhubiri 12:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pia, mtu anapoogopa sehemu zilizo juu, na vitisho vinapokuwa barabarani. Na mti wa mlozi unapochanua,+ na panzi anapojikokota, na pilipili inapopasuka, kwa sababu mwanadamu anatembea kwenda kwenye nyumba yake ya kudumu+ na waombolezaji wanatembeatembea barabarani;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki