Ayubu 16:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+ Ayubu 16:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Rafiki zangu wananidhihaki+Huku macho yangu yakimwaga machozi* nikimlilia Mungu.+ Ayubu 17:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Wadhihaki wananizunguka,+Na macho yangu yanalazimika kutazama* uasi wao. Waebrania 11:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+
10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+
36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+