Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ayubu 16:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Wamefumbua vinywa vyao wazi dhidi yangu,+

      Nao wameyapiga mashavu yangu kwa dharau;

      Wanakusanyika kwa wingi dhidi yangu.+

  • Ayubu 16:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Rafiki zangu wananidhihaki+

      Huku macho yangu yakimwaga machozi* nikimlilia Mungu.+

  • Ayubu 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wadhihaki wananizunguka,+

      Na macho yangu yanalazimika kutazama* uasi wao.

  • Waebrania 11:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Ndiyo, wengine walipata jaribu lao kwa kudhihakiwa na kupigwa kwa mijeledi, naam, isitoshe, kwa kufungwa minyororo+ na magerezani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki