Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 11:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Atawanyeshea waovu mitego;*

      Moto na kiberiti+ na upepo unaounguza vitakuwa fungu la kikombe chao.

  • Mhubiri 8:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Lakini mambo hayatamwendea vyema mwovu,+ wala hatarefusha siku zake zilizo kama kivuli,+ kwa sababu hamwogopi Mungu.

  • Malaki 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 “Nitawakaribia ili niwahukumu, nami nitakuwa shahidi asiyesita* dhidi ya walozi,+ dhidi ya wazinzi, dhidi ya watu wanaotoa viapo vya uwongo,+ dhidi ya wale wanaomlaghai kibarua,+ mjane, na yatima,*+ na dhidi ya wale wanaokataa kumsaidia* mgeni.+ Watu hao hawaniogopi,” asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki