-
1 Wakorintho 2:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Kwa maana ni nani kati ya wanadamu anayejua mambo ya mwanadamu isipokuwa roho ya mwanadamu iliyo ndani yake? Vivyo hivyo, hakuna ambaye ameyajua mambo ya Mungu, isipokuwa roho ya Mungu.
-