Methali 14:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+ Methali 14:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+ Methali 19:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Anayemwonyesha kibali mtu wa hali ya chini anamkopesha Yehova,+Naye Atamlipa* kwa anayotenda.+
21 Anayemdharau jirani yake anatenda dhambi,Lakini yeyote anayewahurumia watu wa hali ya chini ni mwenye furaha.+
31 Anayempunja mtu wa hali ya chini anamtukana Muumba wake,+Lakini yeyote anayewahurumia maskini humtukuza Mungu.+