Esta 5:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Hamani akajigamba kuhusu utajiri wake mwingi, wanawe wengi,+ na jinsi mfalme alivyompandisha cheo na kumkweza juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+ Zaburi 62:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Msitegemee upunjajiWala kuwa na matumaini ya uwongo katika unyang’anyi. Mali zako zikiongezeka, usizikazie moyoni mwako.+ Methali 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Anayeutumaini utajiri wake ataanguka,+Lakini waadilifu watasitawi kama majani.+
11 Hamani akajigamba kuhusu utajiri wake mwingi, wanawe wengi,+ na jinsi mfalme alivyompandisha cheo na kumkweza juu ya wakuu na watumishi wa mfalme.+
10 Msitegemee upunjajiWala kuwa na matumaini ya uwongo katika unyang’anyi. Mali zako zikiongezeka, usizikazie moyoni mwako.+