Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 34:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Musa alikuwa na umri wa miaka 120 alipokufa.+ Macho yake hayakuwa yamedhoofika, na nguvu zake hazikuwa zimeisha.

  • Ayubu 42:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Baada ya hayo Ayubu aliishi miaka 140, akawaona watoto wake na wajukuu wake—vizazi vinne.

  • Zaburi 103:3-5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Husamehe makosa yako yote+

      Na kuyaponya magonjwa yako yote;+

       4 Huukomboa uhai wako kutoka shimoni*+

      Na kukuvika taji la upendo wake mshikamanifu na rehema.+

       5 Hukushibisha kwa vitu vyema+ maisha yako yote,

      Hivi kwamba ujana wako unarudishwa upya kama ule wa tai.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki