Ayubu 13:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ndipo atakapokuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mtu aliyemkataa Mungu* anayeweza kuja mbele zake.+ Ayubu 27:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Kwa maana mtu anayemkataa Mungu* ana tumaini gani anapoangamizwa,+Mungu anapoondoa uhai wake?*
16 Ndipo atakapokuwa wokovu wangu,+Kwa maana hakuna mtu aliyemkataa Mungu* anayeweza kuja mbele zake.+