-
Kutoka 19:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Sauti ya pembe ilipozidi kuongezeka zaidi na zaidi, Musa akaongea, na sauti ya Mungu wa kweli ikamjibu.
-
-
1 Wafalme 19:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Lakini Akasema: “Toka nje, ukasimame mlimani mbele za Yehova.” Na tazama! Yehova alikuwa akipita karibu,+ na upepo mkali na wenye nguvu ulikuwa ukipasua milima na kuvunja miamba mbele za Yehova,+ lakini Yehova hakuwa katika upepo huo. Baada ya upepo, kukawa na tetemeko la ardhi,+ lakini Yehova hakuwa katika tetemeko hilo.
-