Zaburi 27:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Mtumaini Yehova;+Uwe jasiri na uwe na moyo mkuu.+ Naam, mtumaini Yehova. Zaburi 123:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+
2 Kama macho ya watumishi yanavyoutazama mkono wa bwana wao,Na macho ya kijakazi yanavyoutazama mkono wa bimkubwa wake,Ndivyo macho yetu yanavyokutazama wewe, Ee Yehova Mungu wetu+Mpaka utakapotuonyesha kibali.+