Zaburi 20:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Yehova na akujibu katika siku ya taabu. Jina la Mungu wa Yakobo na likulinde.+ Zaburi 79:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+ Methali 18:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Jina la Yehova ni mnara wenye nguvu.+ Mwadilifu hukimbilia humo na kupata ulinzi.*+
9 Tusaidie, Ee Mungu wa wokovu wetu,+Kwa ajili ya jina lako tukufu;Tuokoe na kutusamehe* dhambi zetu kwa ajili ya jina lako.+