2 Samweli 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+ Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana matatizo mengi,*+Lakini Yehova humwokoa kutoka katika matatizo hayo yote.+ Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Wokovu wa watu waadilifu unatoka kwa Yehova;+Yeye ndiye ngome yao wakati wa taabu.+
9 Hata hivyo, Daudi akamjibu hivi Rekabu na Baana ndugu yake, wana wa Rimoni Mbeerothi: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, aliyeniokoa* kutoka katika taabu zote,+