Zaburi 37:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mkabidhi* Yehova njia yako;+Mtegemee yeye, naye atatenda kwa niaba yako.+ Zaburi 68:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na asifiwe Yehova, anayetubebea mzigo wetu kila siku,+Mungu wa kweli wa wokovu wetu. (Sela) Wafilipi 4:6, 7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.
6 Msihangaike kuhusiana na jambo lolote,+ bali katika kila jambo kwa sala na dua pamoja na kutoa shukrani, mjulisheni Mungu maombi yenu;+ 7 na amani+ ya Mungu inayozidi uelewaji wote itailinda mioyo yenu+ na nguvu zenu za akili* kupitia Kristo Yesu.