10 Ole wao wanaotunga sheria zinazodhuru,+
Ambao sikuzote huandika amri zinazokandamiza,
2 Ili kuwanyima maskini haki zao za kisheria,
Ili kuwanyang’anya haki watu wa hali ya chini kati ya watu wangu,+
Kuwafanya wajane kuwa nyara yao
Na kuwapora mayatima!+