Zaburi 27:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani? Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Mungu ni kimbilio letu na nguvu zetu,+Msaada unaopatikana kwa urahisi nyakati za taabu.+
27 Yehova ni nuru yangu+ na wokovu wangu. Nimwogope nani?+ Yehova ni ngome ya uhai wangu.+ Nimhofu nani?