Kutoka 15:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Watashikwa na woga na hofu.+ Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiweMpaka watu wako watakapopita, Ee Yehova,Mpaka watu uliowatokeza+ watakapopita.+ Zaburi 76:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Atakinyenyekeza kiburi cha* viongozi;Yeye huwaogopesha wafalme wa dunia. Isaya 2:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miambaNa ndani ya mashimo ardhini,+Kwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu,+Anapoinuka ili kuifanya dunia itetemeke kwa hofu. Yeremia 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.
16 Watashikwa na woga na hofu.+ Kwa sababu ya ukuu wa mkono wako watatulia kama jiweMpaka watu wako watakapopita, Ee Yehova,Mpaka watu uliowatokeza+ watakapopita.+
19 Na watu wataingia ndani ya mapango ya miambaNa ndani ya mashimo ardhini,+Kwa sababu ya uwepo wa Yehova unaoogopeshaNa fahari yake kuu,+Anapoinuka ili kuifanya dunia itetemeke kwa hofu.
10 Lakini kwa kweli Yehova ni Mungu. Yeye ndiye Mungu aliye hai+ na Mfalme wa milele.+ Kwa sababu ya ghadhabu yake dunia itatetemeka,+Na hakuna taifa litakalostahimili shutuma yake.