Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 40:13-17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Tafadhali, Ee Yehova, uwe tayari kuniokoa.+

      Ee Yehova, njoo haraka unisaidie.+

      14 Wote wanaotaka kuniua*

      Na waaibishwe na kufedheheshwa.

      Wale wanaofurahia msiba wangu

      Na wakimbie kwa aibu.

      15 Wale wanaoniambia: “Aha! Aha!”

      Na washtuke kwa sababu ya aibu yao.

      16 Lakini acha wale wanaokutafuta+

      Wafurahi na kushangilia kwa sababu yako.+

      Wale wanaopenda matendo yako ya wokovu na waseme daima:

      “Yehova na atukuzwe.”+

      17 Lakini sina uwezo, nami ni maskini;

      Yehova na anitunze.

      Wewe ni msaidizi wangu na mwokozi wangu;+

      Mungu wangu, usikawie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki