-
Zaburi 40:13-17Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Tafadhali, Ee Yehova, uwe tayari kuniokoa.+
Ee Yehova, njoo haraka unisaidie.+
Wale wanaofurahia msiba wangu
Na wakimbie kwa aibu.
15 Wale wanaoniambia: “Aha! Aha!”
Na washtuke kwa sababu ya aibu yao.
Wale wanaopenda matendo yako ya wokovu na waseme daima:
“Yehova na atukuzwe.”+
17 Lakini sina uwezo, nami ni maskini;
Yehova na anitunze.
-