17 Ee Mungu, umenifundisha tangu nilipokuwa kijana,+
Na mpaka sasa ninaendelea kutangaza kazi zako zinazostaajabisha.+
18 Ee Mungu, hata nikizeeka na kuwa na mvi, usiniache.+
Acha nikiambie kizazi kijacho kuhusu nguvu zako
Na kuwaambia wote watakaokuja kuhusu uwezo wako.+