Zaburi 78:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Hatutawaficha wana wao;Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+ Waroma 15:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+
4 Hatutawaficha wana wao;Tutakisimulia kizazi kijacho mambo hayo+Matendo ya Yehova yanayostahili sifa na nguvu zake,+Mambo yanayostaajabisha aliyotenda.+
4 Kwa maana mambo yote yaliyoandikwa zamani yaliandikwa ili kutufundisha,+ ili kupitia uvumilivu wetu+ na kupitia faraja kutoka kwa Maandiko tuwe na tumaini.+