Zaburi 74:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 74 Ee Mungu, kwa nini umetukataa milele?+ Kwa nini hasira yako inawaka* dhidi ya kundi la malisho yako?+ Zaburi 95:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
74 Ee Mungu, kwa nini umetukataa milele?+ Kwa nini hasira yako inawaka* dhidi ya kundi la malisho yako?+
7 Kwa maana yeye ni Mungu wetu,Na sisi ni watu wa malisho yake,Kondoo anaowatunza.*+ Leo ikiwa mtaisikiliza sauti yake,+ Zaburi 100:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+
3 Jueni* kwamba Yehova ni Mungu.+ Yeye ndiye aliyetuumba, na sisi ni mali yake.*+ Sisi ni watu wake na kondoo wa malisho yake.+