Kutoka 14:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Farao alipokaribia, Waisraeli waliinua macho yao na kuwaona Wamisri wakiwafuatia. Waisraeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+ Kutoka 14:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniita, nami nitamjibu.+ Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+ Nitamwokoa na kumtukuza.
10 Farao alipokaribia, Waisraeli waliinua macho yao na kuwaona Wamisri wakiwafuatia. Waisraeli wakaogopa sana na kuanza kumlilia Yehova.+
13 Ndipo Musa akawaambia watu: “Msiogope.+ Simameni imara muone jinsi Yehova atakavyowaokoa leo.+ Kwa maana Wamisri mnaowaona leo, hamtawaona tena kamwe.+