Mwanzo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+ Zaburi 104:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Ukiuficha uso wako, wanahangaika. Ukiiondoa roho yao, wanakufa na kurudi mavumbini.+ Zaburi 146:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+ Mhubiri 3:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Wote wanaenda mahali palepale.+ Wote wanatoka mavumbini,+ na wote wanarudi mavumbini.+ Mhubiri 12:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+
19 Kwa jasho la uso wako utakula chakula* mpaka utakaporudi ardhini, kwa kuwa ulitolewa humo.+ Kwa maana wewe ni mavumbi nawe utarudi mavumbini.”+
3 Msiwatumaini wakuu*Wala mwanadamu, ambaye hawezi kuleta wokovu.+ 4 Roho* yake hutoka, naye hurudi ardhini;+Siku hiyohiyo mawazo yake hupotea.+
7 Kisha mavumbi hurudi ardhini,+ mahali yalikotoka, na roho* hurudi kwa Mungu wa kweli aliyewapa wanadamu.+