Zaburi 124:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+Watu walipokuja kutushambulia,+ 3 Basi wangetumeza tukiwa hai+Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+ 2 Wakorintho 1:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Alituokoa kutoka katika hatari kubwa ya kifo na atatuokoa, nasi tumeweka tumaini letu kwake kwamba ataendelea kutuokoa.+
2 “Kama Yehova hangekuwa pamoja nasi+Watu walipokuja kutushambulia,+ 3 Basi wangetumeza tukiwa hai+Hasira yao ilipokuwa ikiwaka dhidi yetu.+
10 Alituokoa kutoka katika hatari kubwa ya kifo na atatuokoa, nasi tumeweka tumaini letu kwake kwamba ataendelea kutuokoa.+