Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nionyeshe kibali, Ee Yehova; angalia ninavyoteswa na wale wanaonichukia,

      Wewe unayeniinua kutoka katika malango ya kifo,+

      14 Ili nitangaze katika malango ya binti ya Sayuni matendo yako yanayostahili sifa,+

      Na kushangilia kwa sababu ya matendo yako ya wokovu.+

  • Zaburi 22:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Nitalitangaza jina lako kwa ndugu zangu;+

      Katikati ya kutaniko nitakusifu.+

  • Isaya 51:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Watu wa Yehova waliokombolewa watarudi.+

      Watakuja Sayuni kwa vigelegele vya shangwe,+

      Na shangwe isiyokoma itakuwa taji lao.*+

      Watakuwa na furaha na shangwe.

      Huzuni na kilio cha uchungu vitakimbia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki